6 Ndipo watu wa Gibeoni wakatuma ujumbe kwa Yoshua huko Gilgali kambini,+ wakisema: “Usiulegeze mkono wako uwaache watumwa wako.+ Panda uje kwetu haraka, utuokoe na kutusaidia, kwa maana wafalme wote wa Waamori wanaokaa katika eneo lenye milima wamekusanyika pamoja kutupiga sisi.”