Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Yoshua alikuwa mzee, amesonga katika miaka.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia: “Wewe mwenyewe umezeeka na kusonga katika miaka, na sehemu kubwa ya nchi bado haijamilikiwa.+

  • Yoshua 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+

  • 1 Wafalme 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 na majiji yote yenye maghala+ yaliyokuwa yamekuwa ya Sulemani na majiji ya magari na majiji ya wapanda-farasi,+ na vitu vyenye kutamanika vya Sulemani+ ambavyo alitamani kujenga katika Yerusalemu na katika Lebanoni na katika nchi yote ya mamlaka yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki