13Basi Yoshua alikuwa mzee, amesonga katika miaka.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia: “Wewe mwenyewe umezeeka na kusonga katika miaka, na sehemu kubwa ya nchi bado haijamilikiwa.+
19 na majiji yote yenye maghala+ yaliyokuwa yamekuwa ya Sulemani na majiji ya magari na majiji ya wapanda-farasi,+ na vitu vyenye kutamanika vya Sulemani+ ambavyo alitamani kujenga katika Yerusalemu na katika Lebanoni na katika nchi yote ya mamlaka yake.