Mhubiri 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala sikuyanyima macho yangu chochote ambacho yaliomba.+ Sikuunyima moyo wangu shangwe ya aina yoyote, kwa maana moyo wangu ulifurahia kazi yangu yote iliyo ngumu,+ nalo hilo likawa fungu langu katika kazi yangu yote iliyo ngumu.+
10 Wala sikuyanyima macho yangu chochote ambacho yaliomba.+ Sikuunyima moyo wangu shangwe ya aina yoyote, kwa maana moyo wangu ulifurahia kazi yangu yote iliyo ngumu,+ nalo hilo likawa fungu langu katika kazi yangu yote iliyo ngumu.+