Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+

  • Methali 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kaburi* na mahali pa uharibifu+ hazitosheki;+ wala macho ya mwanadamu hayatosheki.+

  • Mhubiri 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ewe kijana, shangilia+ katika ujana wako, na moyo wako ukufanyie mema siku za ujana wako, nawe utembee katika njia za moyo wako na katika mambo ambayo macho yako yameona.+ Lakini ujue kwamba kwa ajili ya mambo yote hayo, Mungu wa kweli atakuleta hukumuni.+

  • 1 Yohana 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu kila kitu kilicho katika ulimwengu+—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali yake maishani+—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki