1 Wakorintho 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini mwanamume aliyeoa huhangaikia+ mambo ya ulimwengu, jinsi anavyoweza kupata kibali cha mke wake,+ Waefeso 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+
33 Lakini mwanamume aliyeoa huhangaikia+ mambo ya ulimwengu, jinsi anavyoweza kupata kibali cha mke wake,+
2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+