Mhubiri 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vitu vizuri vinapoongezeka, hakika wenye kula vitu hivyo huongezeka.+ Naye mwenye vitu hivyo anapata faida gani, ila kuviangalia tu kwa macho yake?+ Yakobo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini sasa mnajivunia kujigamba kwenu kwa kujidai.+ Majivuno yote ya namna hiyo ni maovu.
11 Vitu vizuri vinapoongezeka, hakika wenye kula vitu hivyo huongezeka.+ Naye mwenye vitu hivyo anapata faida gani, ila kuviangalia tu kwa macho yake?+