Zaburi 52:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Huyo ndiye mwanamume ambaye hamweki Mungu kuwa ngome yake,+Lakini anategemea wingi wa utajiri wake,+Ambaye hulindwa kutokana na shida anazoleta.+ Isaya 47:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nawe uliendelea kuutegemea ubaya wako.+ Wewe umesema: “Hakuna anayeniona.”+ Hekima yako na ujuzi wako+—mambo hayo ndiyo yamekupotosha; nawe unaendelea kusema moyoni mwako: “Mimi ndiye, wala hakuna mwingine yeyote.”
7 Huyo ndiye mwanamume ambaye hamweki Mungu kuwa ngome yake,+Lakini anategemea wingi wa utajiri wake,+Ambaye hulindwa kutokana na shida anazoleta.+
10 Nawe uliendelea kuutegemea ubaya wako.+ Wewe umesema: “Hakuna anayeniona.”+ Hekima yako na ujuzi wako+—mambo hayo ndiyo yamekupotosha; nawe unaendelea kusema moyoni mwako: “Mimi ndiye, wala hakuna mwingine yeyote.”