Zaburi 49:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wale wanaotegemea riziki zao,+Na ambao wanaendelea kujisifu juu ya wingi wa utajiri wao,+ Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayetegemea utajiri wake—yeye mwenyewe ataanguka;+ lakini waadilifu watasitawi kama majani.+ Methali 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+ 1 Timotheo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+
5 Je, umeukazia macho, nao si kitu?+ Kwa maana hakika huo hujifanyia mabawa kama yale ya tai na kuruka kuelekea mbinguni.+
17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+