Ayubu 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ikiwa nimeifanya dhahabu kuwa tumaini langu,Au nimeiambia dhahabu, ‘Wewe ni tegemeo langu!’+ Zaburi 52:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Huyo ndiye mwanamume ambaye hamweki Mungu kuwa ngome yake,+Lakini anategemea wingi wa utajiri wake,+Ambaye hulindwa kutokana na shida anazoleta.+ Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+
7 Huyo ndiye mwanamume ambaye hamweki Mungu kuwa ngome yake,+Lakini anategemea wingi wa utajiri wake,+Ambaye hulindwa kutokana na shida anazoleta.+
10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+