Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+ Isaya 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Mtakatifu wa Israeli amesema hivi: “Kwa sababu ya ninyi kulikataa neno hili,+ na kwa kuwa mnategemea upunjaji na yaliyo ya hila na ninyi mnajitegemeza juu yake,+
31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+
12 Kwa hiyo Mtakatifu wa Israeli amesema hivi: “Kwa sababu ya ninyi kulikataa neno hili,+ na kwa kuwa mnategemea upunjaji na yaliyo ya hila na ninyi mnajitegemeza juu yake,+