Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+

      Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+

      Na ambao majani yake hayanyauki,+

      Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+

  • Zaburi 52:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;

      Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • Isaya 60:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+

  • Yeremia 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika yeye atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, unaopeleka mizizi yake kando ya mto; naye hataona joto linapoingia, bali kwa kweli majani yake yatakuwa mengi.+ Na katika mwaka wa ukame+ hatahangaika, wala hataacha kuzaa matunda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki