23 kwa maana wakati anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, katikati yake,+ watalitakasa jina langu,+ nao hakika watamtakasa Mtakatifu wa Yakobo,+ nao watamheshimu Mungu wa Israeli.+
10 Kwa maana sisi ni matokeo ya kazi yake+ na tuliumbwa+ katika muungano+ na Kristo Yesu kwa ajili ya matendo mema,+ ambayo Mungu alitutayarishia kimbele+ ili tutembee katika hayo.