Isaya 43:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 watu ambao nimejifanyia, ili wasimulie sifa zangu.+ Isaya 45:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova, Mtakatifu wa Israeli+ na Mfanyizaji+ wake, amesema hivi: “Niulizeni hata mambo ambayo yanakuja+ kuwahusu wanangu;+ na kuhusu utendaji+ wa mikono yangu ninyi mnapaswa kuniamuru.
11 Yehova, Mtakatifu wa Israeli+ na Mfanyizaji+ wake, amesema hivi: “Niulizeni hata mambo ambayo yanakuja+ kuwahusu wanangu;+ na kuhusu utendaji+ wa mikono yangu ninyi mnapaswa kuniamuru.