Mambo ya Walawi 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Musa akamwambia Haruni: “Hivi ndivyo Yehova amesema, ‘Na nitakaswe+ kati ya wale walio karibu nami,+ nami nitukuzwe mbele ya uso wa watu wote.’”+ Naye Haruni akakaa kimya. Mambo ya Walawi 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nanyi hamtalitia unajisi jina langu takatifu,+ nami nitatakaswa katikati ya wana wa Israeli.+ Mimi ni Yehova ninayewatakasa ninyi,+ Mathayo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Basi, ninyi msali hivi:+ “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+
3 Ndipo Musa akamwambia Haruni: “Hivi ndivyo Yehova amesema, ‘Na nitakaswe+ kati ya wale walio karibu nami,+ nami nitukuzwe mbele ya uso wa watu wote.’”+ Naye Haruni akakaa kimya.
32 Nanyi hamtalitia unajisi jina langu takatifu,+ nami nitatakaswa katikati ya wana wa Israeli.+ Mimi ni Yehova ninayewatakasa ninyi,+