Mambo ya Walawi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+ Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Amosi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wanatamani sana mavumbi ya dunia yaliyo kwenye vichwa vya watu wa hali ya chini;+ nao huipotosha njia ya watu wapole;+ na mwanamume na baba yake wamemwendea msichana yuleyule,+ kwa kusudi la kulitia unajisi jina langu takatifu.+
21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+
7 Wanatamani sana mavumbi ya dunia yaliyo kwenye vichwa vya watu wa hali ya chini;+ nao huipotosha njia ya watu wapole;+ na mwanamume na baba yake wamemwendea msichana yuleyule,+ kwa kusudi la kulitia unajisi jina langu takatifu.+