Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova.

  • Amosi 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wanatamani sana mavumbi ya dunia yaliyo kwenye vichwa vya watu wa hali ya chini;+ nao huipotosha njia ya watu wapole;+ na mwanamume na baba yake wamemwendea msichana yuleyule,+ kwa kusudi la kulitia unajisi jina langu takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki