8 kwa kuweka kwao kizingiti chao pamoja na kizingiti changu na mwimo wa mlango wao kando ya mwimo wa mlango wangu, kukiwa na ukuta kati yangu na wao.+ Nao walilitia unajisi jina langu takatifu kwa machukizo yao ambayo walifanya,+ hivi kwamba nikawaangamiza katika hasira yangu.+