8 Kwa kuweka kizingiti chao kando ya kizingiti changu na mwimo wa mlango wao kando ya mwimo wa mlango wangu, kukiwa na ukuta tu kati yangu nao,+ walilichafua jina langu takatifu kwa mambo yanayochukiza waliyotenda hivi kwamba nikawaangamiza kabisa kwa hasira yangu.+