Isaya 52:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na sasa, nina faida gani hapa?” asema Yehova. “Kwa maana watu wangu walichukuliwa bure.+ Wale waliokuwa wakiwatawala waliendelea kupiga mayowe,”+ asema Yehova, “na sikuzote, mchana kutwa, jina langu lilikuwa likivunjiwa heshima.+ Waroma 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.
5 “Na sasa, nina faida gani hapa?” asema Yehova. “Kwa maana watu wangu walichukuliwa bure.+ Wale waliokuwa wakiwatawala waliendelea kupiga mayowe,”+ asema Yehova, “na sikuzote, mchana kutwa, jina langu lilikuwa likivunjiwa heshima.+
24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.