14 Baadaye maofisa+ wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa kazi wa Farao walikuwa wamewaweka juu yao, wakapigwa,+ wakiambiwa: “Kwa nini hamkumaliza kazi yenu mliyoamriwa ya kutengeneza matofali+ kama hapo zamani, jana na pia leo?”+
17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+