Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Baadaye maofisa+ wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa kazi wa Farao walikuwa wamewaweka juu yao, wakapigwa,+ wakiambiwa: “Kwa nini hamkumaliza kazi yenu mliyoamriwa ya kutengeneza matofali+ kama hapo zamani, jana na pia leo?”+

  • Zaburi 137:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+

      Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+

      “Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+

  • Yeremia 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki