11 Sasa ikawa kwamba katika siku hizo, Musa alipozidi kuwa na nguvu, akatoka nje kwenda kwa ndugu zake apate kutazama mizigo waliyokuwa wakibeba;+ naye akamwona Mmisri fulani akimpiga Mwebrania fulani, mmoja wa ndugu zake.+
24 Naye alipomwona mtu fulani akitendewa isivyo haki, akamtetea na kulipiza kisasi kwa ajili ya yule mwenye kutendewa vibaya kwa kumpiga na kumuua Mmisri.+