Kutoka 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye maofisa+ wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa kazi wa Farao walikuwa wamewaweka juu yao, wakapigwa,+ wakiambiwa: “Kwa nini hamkumaliza kazi yenu mliyoamriwa ya kutengeneza matofali+ kama hapo zamani, jana na pia leo?”+
14 Baadaye maofisa+ wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa kazi wa Farao walikuwa wamewaweka juu yao, wakapigwa,+ wakiambiwa: “Kwa nini hamkumaliza kazi yenu mliyoamriwa ya kutengeneza matofali+ kama hapo zamani, jana na pia leo?”+