14 Pia, wasimamizi wa Waisraeli, ambao walikuwa wamechaguliwa na wasimamizi wa kazi waliowekwa na Farao kuwasimamia wasimamizi hao wa Waisraeli, walipigwa.+ Waliwauliza: “Kwa nini hamkufyatua idadi ileile ya matofali mliyokuwa mkifyatua mwanzoni? Hamkufanya hivyo jana na leo.”