Kutoka 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku hizo, baada ya Musa kuwa mtu mzima,* alitoka kwenda kwa ndugu zake ili kuona mizigo waliyokuwa wakibeba,+ akamwona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmoja wa ndugu zake.
11 Siku hizo, baada ya Musa kuwa mtu mzima,* alitoka kwenda kwa ndugu zake ili kuona mizigo waliyokuwa wakibeba,+ akamwona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmoja wa ndugu zake.