Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo katika siku hiyo Daudi alitoa mchango+ kwa mara ya kwanza ili kumshukuru+ Yehova kupitia kwa Asafu+ na ndugu zake:

  • Zaburi 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.

      Moyo wangu umemtegemea yeye,+

      Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+

      Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+

  • Zaburi 69:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,+

      Nami nitamtukuza kwa kutoa shukrani.+

  • Isaya 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki