1 Mambo ya Nyakati 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo katika siku hiyo Daudi alitoa mchango+ kwa mara ya kwanza ili kumshukuru+ Yehova kupitia kwa Asafu+ na ndugu zake: Zaburi 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+ Zaburi 69:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,+Nami nitamtukuza kwa kutoa shukrani.+ Isaya 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+
7 Ndipo katika siku hiyo Daudi alitoa mchango+ kwa mara ya kwanza ili kumshukuru+ Yehova kupitia kwa Asafu+ na ndugu zake: Zaburi 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+ Zaburi 69:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,+Nami nitamtukuza kwa kutoa shukrani.+ Isaya 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+
7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+
10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+