Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+

  • 2 Samweli 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi:+

      “Neno la Daudi mwana wa Yese,+

      Na neno la mwanamume aliyeinuliwa juu,+

      Mtiwa-mafuta+ wa Mungu wa Yakobo,

      Na mwenye kupendeza wa muziki+ wa Israeli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli,

  • 2 Wakorintho 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwa sababu huduma ya utumishi huu wa watu wote si kugawa tu kwa wingi mahitaji ya watakatifu+ bali pia kuwa matajiri kwa maonyesho mengi ya shukrani kwa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki