22Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+
4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli,
12 kwa sababu huduma ya utumishi huu wa watu wote si kugawa tu kwa wingi mahitaji ya watakatifu+ bali pia kuwa matajiri kwa maonyesho mengi ya shukrani kwa Mungu.