Ruthu 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na Obedi akamzaa Yese;+ na Yese akamzaa Daudi.+ 1 Samweli 17:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Sauli sasa akamwambia: “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” naye Daudi akasema: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+ Mathayo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+ Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria;
58 Sauli sasa akamwambia: “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” naye Daudi akasema: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+