Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+

  • 2 Wakorintho 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 bali kwamba kupitia usawazisho wa ziada yenu sasa hivi ijazie upungufu wao, ili ziada yao pia ije kujazia upungufu wenu, ili usawazisho uwepo.+

  • Wagalatia 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+

  • Wafilipi 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hata hivyo, mimi nina vitu vyote kwa ukamili nami nina wingi. Nimejaa, kwa kuwa sasa nimepokea kutoka kwa Epafrodito+ vitu vilivyotoka kwenu, harufu tamu,+ dhabihu yenye kukubalika,+ inayompendeza Mungu vyema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki