27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+
18 Hata hivyo, mimi nina vitu vyote kwa ukamili nami nina wingi. Nimejaa, kwa kuwa sasa nimepokea kutoka kwa Epafrodito+ vitu vilivyotoka kwenu, harufu tamu,+ dhabihu yenye kukubalika,+ inayompendeza Mungu vyema.