18 Nawe utamfukiza kondoo huyo mzima juu ya madhabahu. Hilo ni toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, harufu yenye kutuliza.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
41 Kwa sababu ya harufu ya kutuliza nitafurahishwa nanyi,+ nitakapowatoa kati ya vikundi vya watu nami hakika niwakusanye pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa,+ nami nitatakaswa ndani yenu mbele ya macho ya mataifa.’+