6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+
7 kwa hiyo, tazama! Yehova analeta juu yao+ maji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,+ mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote.+ Naye hakika atakuja juu ya sakafu zake zote za vijito na kwenda juu ya kingo zake zote