9 Na ikawa katika mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, yaani, mwaka wa saba wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, kwamba Shalmanesa+ mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya Samaria, akaanza kulizingira.+
17 Yehova ataleta juu yenu+ na juu ya watu wenu na juu ya nyumba ya baba yako siku ambazo hazijaja tangu siku ile Efraimu alipoondoka kando ya Yuda,+ yaani, mfalme wa Ashuru.+