1 Mambo ya Nyakati 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ kule Hamathi+ alipokuwa akienda zake kuweka mamlaka yake kwenye mto Efrati.+ Isaya 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Katika siku hiyo, kwa kutumia wembe uliokodiwa katika eneo la ule Mto,+ kwa kumtumia mfalme wa Ashuru,+ Yehova atakinyoa kichwa na nywele za miguu, nao utafagilia mbali hata ndevu.+
3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ kule Hamathi+ alipokuwa akienda zake kuweka mamlaka yake kwenye mto Efrati.+
20 “Katika siku hiyo, kwa kutumia wembe uliokodiwa katika eneo la ule Mto,+ kwa kumtumia mfalme wa Ashuru,+ Yehova atakinyoa kichwa na nywele za miguu, nao utafagilia mbali hata ndevu.+