2 Samweli 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ alipokuwa akienda zake kurudisha mamlaka yake kwenye mto Efrati.+ 1 Wafalme 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Mungu akamsimamishia mpinzani+ mwingine, yaani, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amekimbia kutoka kwa Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ bwana wake.
3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ alipokuwa akienda zake kurudisha mamlaka yake kwenye mto Efrati.+
23 Na Mungu akamsimamishia mpinzani+ mwingine, yaani, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amekimbia kutoka kwa Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ bwana wake.