Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na sasa, tafadhali, bwana wangu mfalme na ayasikilize maneno ya mtumishi wake: Ikiwa ni Yehova aliyekuchochea juu yangu, na anuse harufu ya toleo la nafaka.+ Lakini ikiwa ni wanadamu,+ wamelaaniwa mbele za Yehova,+ kwa sababu leo wamenifukuza nisione kuwa nimeshikamana na urithi wa Yehova,+ wakisema, ‘Nenda, tumikia miungu mingine!’+

  • 2 Samweli 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tena+ hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, wakati mtu fulani alipomchochea Daudi juu yao, akisema: “Nenda, uhesabu+ Israeli na Yuda.”

  • 1 Wafalme 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaanza kusimamisha mtu wa kumpinga+ Sulemani,+ yaani, Hadadi, Mwedomu, wa uzao wa mfalme. Yeye alikuwa katika Edomu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo Mungu wa Israeli akachochea roho+ ya Pulu+ mfalme wa Ashuru,+ roho ya Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru, hivi kwamba akawapeleka uhamishoni+ Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase, akawaleta mpaka Hala+ na Habori na Hara na mto Gozani waendelee kuwako mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki