-
1 Samweli 26:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Tafadhali, bwana wangu mfalme, yasikilize maneno yangu mimi mtumishi wako: Ikiwa ni Yehova aliyekuchochea dhidi yangu, acha akubali* toleo langu la nafaka. Lakini ikiwa ni wanadamu wamekuchochea,+ wamelaaniwa mbele za Yehova, kwa sababu leo wamenifukuza ili nisiungane na urithi wa Yehova,+ wakisema, ‘Nenda, abudu miungu mingine!’
-