2 Wafalme 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.” 2 Mambo ya Nyakati 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwishowe Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru akaja kupigana naye na kumtaabisha,+ naye hakumtia nguvu.
7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.”
20 Mwishowe Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru akaja kupigana naye na kumtaabisha,+ naye hakumtia nguvu.