Zaburi 146:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+ Yeremia 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+ Maombolezo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tukiwa tungali bado tunaishi, macho yetu huendelea kudhoofika bure kwa kutazamia msaada wetu.+Wakati wa kutazama kwetu tumetazamia taifa ambalo haliwezi kuleta wokovu.+
3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+
5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+
17 Tukiwa tungali bado tunaishi, macho yetu huendelea kudhoofika bure kwa kutazamia msaada wetu.+Wakati wa kutazama kwetu tumetazamia taifa ambalo haliwezi kuleta wokovu.+