Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na ngome ya Farao itakuwa kwenu sababu ya kuona aibu,+ na kimbilio katika kivuli cha Misri sababu ya kufedheheka.+

  • Isaya 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hata hivyo, Wamisri ni watu wa udongo,+ wala si Mungu; na farasi wao ni nyama,+ wala si roho. Na Yehova mwenyewe atanyoosha mkono wake, na yeye anayetoa usaidizi atajikwaa, na yeye anayesaidiwa ataanguka,+ nao wote watafikia mwisho wakati mmoja.

  • Yeremia 37:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mwambieni hivi mfalme wa Yuda, yeye aliyewatuma kwangu kuniuliza habari:+ “Tazama! Jeshi la Farao ambalo linawajia ninyi kwa kusudi la kuwapa msaada litarudi nchini kwao, Misri.+

  • Ezekieli 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wakaaji wote wa Misri watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ kwa sababu walikuwa, kama kitegemeo, utete kwa nyumba ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki