3 Hata hivyo, Wamisri ni watu wa udongo,+ wala si Mungu; na farasi wao ni nyama,+ wala si roho. Na Yehova mwenyewe atanyoosha mkono wake, na yeye anayetoa usaidizi atajikwaa, na yeye anayesaidiwa ataanguka,+ nao wote watafikia mwisho wakati mmoja.
7 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mwambieni hivi mfalme wa Yuda, yeye aliyewatuma kwangu kuniuliza habari:+ “Tazama! Jeshi la Farao ambalo linawajia ninyi kwa kusudi la kuwapa msaada litarudi nchini kwao, Misri.+