Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na ngome ya Farao itakuwa kwenu sababu ya kuona aibu,+ na kimbilio katika kivuli cha Misri sababu ya kufedheheka.+

  • Isaya 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hata hivyo, Wamisri ni watu wa udongo,+ wala si Mungu; na farasi wao ni nyama,+ wala si roho. Na Yehova mwenyewe atanyoosha mkono wake, na yeye anayetoa usaidizi atajikwaa, na yeye anayesaidiwa ataanguka,+ nao wote watafikia mwisho wakati mmoja.

  • Yeremia 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+

  • Maombolezo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tukiwa tungali bado tunaishi, macho yetu huendelea kudhoofika bure kwa kutazamia msaada wetu.+

      Wakati wa kutazama kwetu tumetazamia taifa ambalo haliwezi kuleta wokovu.+

  • Ezekieli 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kwa jeshi kubwa na kwa kutaniko lenye watu wengi Farao hatamfanya apate mafanikio katika vita,+ kwa kujenga boma la kuzingira na kwa kujenga ukuta wa kuzingira, ili kukatilia mbali nafsi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki