3 Hata hivyo, Wamisri ni watu wa udongo,+ wala si Mungu; na farasi wao ni nyama,+ wala si roho. Na Yehova mwenyewe atanyoosha mkono wake, na yeye anayetoa usaidizi atajikwaa, na yeye anayesaidiwa ataanguka,+ nao wote watafikia mwisho wakati mmoja.
5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+
17 Na kwa jeshi kubwa na kwa kutaniko lenye watu wengi Farao hatamfanya apate mafanikio katika vita,+ kwa kujenga boma la kuzingira na kwa kujenga ukuta wa kuzingira, ili kukatilia mbali nafsi nyingi.+