2 Wafalme 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mfalme wa Misri hakuja tena kamwe+ kutoka katika nchi yake,+ kwa maana mfalme wa Babiloni alikuwa amechukua vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri+ kuanzia bonde la mto+ la Misri mpaka mto Efrati.+ Isaya 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao hakika wataingiwa na woga na kuona aibu juu ya Ethiopia ambayo ni tumaini lao walilotazamia+ na juu ya Misri ambayo ni uzuri wao.+ Maombolezo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nimeita wale wanaonipenda sana.+ Wao wenyewe wamenifanyia ujanja.Makuhani wangu na wanaume wangu wazee wamekufa katika jiji,+Walipolazimika kujitafutia chakula ili waziburudishe nafsi zao.+
7 Na mfalme wa Misri hakuja tena kamwe+ kutoka katika nchi yake,+ kwa maana mfalme wa Babiloni alikuwa amechukua vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri+ kuanzia bonde la mto+ la Misri mpaka mto Efrati.+
5 Nao hakika wataingiwa na woga na kuona aibu juu ya Ethiopia ambayo ni tumaini lao walilotazamia+ na juu ya Misri ambayo ni uzuri wao.+
19 Nimeita wale wanaonipenda sana.+ Wao wenyewe wamenifanyia ujanja.Makuhani wangu na wanaume wangu wazee wamekufa katika jiji,+Walipolazimika kujitafutia chakula ili waziburudishe nafsi zao.+