Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mfalme wa Misri hakuja tena kamwe+ kutoka katika nchi yake,+ kwa maana mfalme wa Babiloni alikuwa amechukua vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri+ kuanzia bonde la mto+ la Misri mpaka mto Efrati.+

  • Isaya 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao hakika wataingiwa na woga na kuona aibu juu ya Ethiopia ambayo ni tumaini lao walilotazamia+ na juu ya Misri ambayo ni uzuri wao.+

  • Maombolezo 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nimeita wale wanaonipenda sana.+ Wao wenyewe wamenifanyia ujanja.

      Makuhani wangu na wanaume wangu wazee wamekufa katika jiji,+

      Walipolazimika kujitafutia chakula ili waziburudishe nafsi zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki