2 Wafalme 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mfalme wa Misri hakutoka tena kamwe katika nchi yake, kwa maana mfalme wa Babiloni alichukua vitu vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri,+ kuanzia Korongo* la Misri+ mpaka Mto Efrati.+
7 Mfalme wa Misri hakutoka tena kamwe katika nchi yake, kwa maana mfalme wa Babiloni alichukua vitu vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri,+ kuanzia Korongo* la Misri+ mpaka Mto Efrati.+