21 Naye Sulemani alikuwa mtawala juu ya falme zote kutoka ule Mto+ hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Walikuwa wakileta zawadi na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.+
12 Na itatukia katika siku ile kwamba Yehova atayapiga matunda,+ kuanzia kijito kinachotiririka cha ule Mto+ mpaka kwenye bonde la mto la Misri,+ na basi ninyi mtaokotwa mmoja baada ya mwingine,+ enyi wana wa Israeli.