Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Hesabu 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao mpaka utabadilika hapo Asimoni hadi kwenye bonde la mto la Misri,+ na mwisho wake utakuwa katika ile Bahari.+

  • Yoshua 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao ukaendelea hadi Asimoni+ na kwenda hadi kwenye bonde la mto la Misri;+ na mwisho wa mpaka huo ukawa kwenye bahari. Huo ukawa ndio mpaka wao wa upande wa kusini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki