Mwanzo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+ Hesabu 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao mpaka utabadilika hapo Asimoni hadi kwenye bonde la mto la Misri,+ na mwisho wake utakuwa katika ile Bahari.+ Yoshua 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao ukaendelea hadi Asimoni+ na kwenda hadi kwenye bonde la mto la Misri;+ na mwisho wa mpaka huo ukawa kwenye bahari. Huo ukawa ndio mpaka wao wa upande wa kusini.
18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+
5 Nao mpaka utabadilika hapo Asimoni hadi kwenye bonde la mto la Misri,+ na mwisho wake utakuwa katika ile Bahari.+
4 Nao ukaendelea hadi Asimoni+ na kwenda hadi kwenye bonde la mto la Misri;+ na mwisho wa mpaka huo ukawa kwenye bahari. Huo ukawa ndio mpaka wao wa upande wa kusini.