5 kuhusu wale wanaokuja kupiga vita juu ya Wakaldayo na kujaza mahali pengi kwa mizoga ya watu ambao nimewapiga na kuwaua katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu,+ na kwa sababu ya wote ambao kutokana na ubaya wao nimeficha uso wangu kutoka kwenye jiji hili,+