Isaya 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Yehova atakatilia mbali kutoka katika Israeli kichwa+ na mkia,+ chipukizi na kitete, katika siku moja.+ Isaya 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa. Isaya 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hakika nchi itafanywa kuwa tupu, na hakika itaporwa,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema neno hilo.+
14 Na Yehova atakatilia mbali kutoka katika Israeli kichwa+ na mkia,+ chipukizi na kitete, katika siku moja.+
2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.
3 Hakika nchi itafanywa kuwa tupu, na hakika itaporwa,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema neno hilo.+