Isaya 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Nuru+ ya Israeli atakuwa moto,+ na Mtakatifu wake mwali wa moto;+ nao utawaka na kuteketeza magugu yake na vichaka vyake vya miiba+ katika siku moja. Hosea 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu fulani atawafanyia vivyo hivyo, Ee Betheli, kwa sababu ya ubaya wenu mwingi.+ Hakika mfalme wa Israeli atanyamazishwa+ wakati wa mapambazuko.”
17 Na Nuru+ ya Israeli atakuwa moto,+ na Mtakatifu wake mwali wa moto;+ nao utawaka na kuteketeza magugu yake na vichaka vyake vya miiba+ katika siku moja.
15 Mtu fulani atawafanyia vivyo hivyo, Ee Betheli, kwa sababu ya ubaya wenu mwingi.+ Hakika mfalme wa Israeli atanyamazishwa+ wakati wa mapambazuko.”