Kumbukumbu la Torati 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Isaya 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+ Waebrania 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+
27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali, likiwaka kwa hasira+ yake na kwa mawingu mazito. Na midomo yake imejaa shutuma, na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+