Kutoka 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na machoni pa wana wa Israeli, kuonekana kwa utukufu wa Yehova kulikuwa kama moto+ wenye kuteketeza juu ya kilele cha mlima. Kumbukumbu la Torati 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe unajua vema leo kwamba Yehova Mungu wako anavuka mbele yako.+ Yeye ni moto unaoteketeza.+ Atawaangamiza hao,+ na yeye mwenyewe atawatiisha mbele yenu; nanyi mtawafukuza na kuwaharibu haraka, kama vile ambavyo Yehova amesema nanyi.+ Waebrania 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+
17 Na machoni pa wana wa Israeli, kuonekana kwa utukufu wa Yehova kulikuwa kama moto+ wenye kuteketeza juu ya kilele cha mlima.
3 Nawe unajua vema leo kwamba Yehova Mungu wako anavuka mbele yako.+ Yeye ni moto unaoteketeza.+ Atawaangamiza hao,+ na yeye mwenyewe atawatiisha mbele yenu; nanyi mtawafukuza na kuwaharibu haraka, kama vile ambavyo Yehova amesema nanyi.+