Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea katika mwali wa moto katikati ya mti wa miiba.+ Alipoendelea kuangalia, tazama, ule mti wa miiba ulikuwa ukiwaka moto lakini haukuwa ukiteketea.

  • Kumbukumbu la Torati 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+

  • Ezekieli 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nami nikaona kitu kama mng’ao wa mchanganyiko wa dhahabu na fedha,+ kinachoonekana kama moto kuzunguka pande zote za ndani,+ kuanzia kuonekana kwa kiuno chake kwenda juu; na kuanzia kuonekana kwa kiuno chake kwenda chini niliona kitu kinachoonekana kama moto, naye alikuwa na mwangaza kuzunguka pande zote.

  • Waebrania 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki