Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma ujumbe kwa Amazia mfalme wa Yuda, na kusema: “Gugu lenye miiba lililokuwa katika Lebanoni lilituma ujumbe kwa mwerezi+ uliokuwa katika Lebanoni, na kusema, ‘Mpe mwanangu binti yako awe mke wake.’ Hata hivyo, mnyama wa mwituni aliyekuwa katika Lebanoni akapita karibu, akalikanyaga lile gugu lenye miiba.+

  • Zaburi 97:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Moto hutoka mbele zake,+

      Nao huteketeza adui zake wanaomzunguka pande zote.+

  • Isaya 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana kila kiatu cha mtu anayekanyaga+ kwa mitetemeko na nguo ya kujitanda iliyoviringishwa katika damu vimekuwa kwa ajili ya kuteketezwa kama vile chakula kwa ajili ya moto.+

  • Nahumu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+

      Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki