-
2 Mambo ya Nyakati 25:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Ndipo Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma ujumbe kwa Amazia mfalme wa Yuda, na kusema:+ “Gugu lenye miiba lililokuwa katika Lebanoni lilituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa katika Lebanoni,+ na kusema, ‘Mpe mwanangu binti yako awe mke wake.’+ Hata hivyo, mnyama wa mwituni+ aliyekuwa katika Lebanoni akapita karibu, akalikanyaga lile gugu lenye miiba.
-